Isaiah 63:1

Siku Ya Mungu Ya Kisasi Na Ukombozi

1 aNi nani huyu anayekuja kutoka Edomu,
kutoka Bosra, mwenye mavazi yaliyotiwa madoa mekundu?
Ni nani huyu, aliyevikwa joho la kifahari,
anayetembea kwa ukuu wa nguvu zake?

“Mimi ndimi, nisemaye katika haki,
mwenye nguvu wa kuokoa.”
Copyright information for SwhNEN